Usafiri
wa bei rahisi wa taxi aina ya Uber kupitia smart phone yako umeingia
rasmi Dar Es Salaam, sasa unachotakiwa ku download App ya UBER na
kujisajili rasmi na kuweza kuiita taxi popote pale ulipo jijini Dar na
kukupeleka popote jijini kwa gharama nafuu na kwa usalama zaidi, Kikubwa
kuliko yote ukijiunga na App ya Uber usafiri wako wa kwanza ukitumia
Promotion Code ya #DiamondPlatnumz
utapata offer ya TSH 12,000 bure kama safari yako ni TSH 12,000 basi
hutolipa chochote unangojea nini sasa tuache dhana ya kupanda Taxi ni
gharama. UBER bei Ni karibu na bureeee
Sande Yohana Fanya
yako baba tiffah, unakubalika kinyama ata uimbe kwaya bado nyota yako
ipo juu, asiekubar mzki wako huyo ana choyo na chuki, wakamulie baba
zote kuntu!
Comments

Write a comment...
Auni Rashird Kachwamba Wat
i av realizd from this post, ppo from Kenya they like diamond than hw
Tanzanian appreciate him....kweli nabii hakubalik nyumbn...oll the best
LION
Here
is the Best Nursery School for yor lovely kids...LJAY BUSYBEE DAYCARE
AND NURSERY SCHOOL they are situated at kinondoni Ada Estate near
Leaders Club next to THT... For more information please contact them
through tel:
0712607662 / 0684088004
You can also visit their website www.ljay.ac.tz, Email: info@ljay.ac.tz Facebook page; Ljaybusybee, Instagram; @busybeetza
Tell a friend to tell a friend!!!
0712607662 / 0684088004
You can also visit their website www.ljay.ac.tz, Email: info@ljay.ac.tz Facebook page; Ljaybusybee, Instagram; @busybeetza
Tell a friend to tell a friend!!!

0:00
Comments

Write a comment...
Sharifa Abdallah bro unampango wa kuishi uko mazima nn? maan atuelew safar za uko aziishi!
Mwezi
Mtukufu nivyema kusoma Quraan kwa wingi....Kupitia Internet ya Mtandao
wako wa @VodacomTanzania wenye Kasi ya kweli ya 4G sasa, waweza kuwa
unajisomea Quraan tukuf kwenye Application mbalimbali zilizo kwenye
Mitandao..... Ramadhani Kareem 🙏
Comments

Write a comment...
Rajaq Kim Issa Naona cku hzi unatumia kitabu kitakatifu kutangaza speed ya internet ya vodacom ee
0:00
Comments

Write a comment...
Hope Lincoln Afu huu mchezo hauhitaji hasira amaa neneee!! ......diamond ft p square kwa fasiiii
@Harmonize_tz still yuko live #BADO anachat na kujibu maswali yote umuulizayo kwa page yake ya Instagram cheki nae sasa @Harmonize_tz

0:00
Comments

Write a comment...
Mood Mmanga sasa ninyi mumeambiw instagram ninyi munaangaika kukoment huku hv munaelew kshahl kwel?
@harmonize_tz will be chatting with you live on Instagram from 09pm to 10pm..... now prepare your Questions🙋
(@harmonize_tz atakuwa anachat nanyi leo Live ifikapo saa tatu kamili Usiku... tafadhali mjuze na Mwenzio nae aweze kuandaa Ushauri na Maswali ya kumtwanga @harmonize_tz Mapemaaa... kumbuka ni kuanzia saa Tatu kamili Usiku🙋)
(@harmonize_tz atakuwa anachat nanyi leo Live ifikapo saa tatu kamili Usiku... tafadhali mjuze na Mwenzio nae aweze kuandaa Ushauri na Maswali ya kumtwanga @harmonize_tz Mapemaaa... kumbuka ni kuanzia saa Tatu kamili Usiku🙋)
Comments

Write a comment...
Subira Rajab Hv
unamkuta Mtu Ana Jina LA kiislam mchn wot huu unatukana... Hv hayo
matusi yako yatakufaidixh nn Zaid ya kukuxhuxhia hexhima... Hamuogop ht
ramadhan jmn.... Kuwen wastaarab ndg Zang especially waislam Maana ndo
mnatia aib humu mitandaon